Saturday, November 19, 2011

SENGO vs IR DOWNTOWN!!!!!!!

Leo majira ya saa kumi jioni kutakua na hitimisho la mtanange uliokuwa ukisubiriwa na wadau wa soka mjini iringa kati ya SENGO FC na IRINGADOWNTOWN  . . . . .wadau mnakaribishwa  kuipa suport club yenu muiendayo ya SENGO FC ili kuwa kati ya mmoja utakayekua umechangia ushindi huo dhidi IRDOWNTOWN  kwa kufika kushuhudia mchezo huo!!!!

No comments: