Leo majira ya saa kumi jioni kutakua na hitimisho la mtanange uliokuwa ukisubiriwa na wadau wa soka mjini iringa kati ya SENGO FC na IRINGADOWNTOWN . . . . .wadau mnakaribishwa kuipa suport club yenu muiendayo ya SENGO FC ili kuwa kati ya mmoja utakayekua umechangia ushindi huo dhidi IRDOWNTOWN kwa kufika kushuhudia mchezo huo!!!!
No comments:
Post a Comment